Jiunge na harakati zetu!

Kwa kuifanya Zanzibar bora zaidi.

    Tukutane kuisaidia Mpendae katika Elimu

    Zanzibar, Mpendae

    -243Days -8Hours -25Minutes -9Seconds

    Wananchi Wangu Wa Jimbo la Mpendae.

    Nashukuru kwa ushirikiano wenu na imani mliyonayo kwangu. Kwa pamoja, tutaendelea kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha maendeleo yanakua, Changamoto tunazikabili kwa nguvu na umoja.

    Ni jukumu langu kuhakikisha kwamba sauti yenu inasikika na kwamba huduma bora zinawafikia kila mmoja. Tutaendelea kusimamia haki, maendeleo, na ustawi wa jamii yetu.Mwenyezi Mungu awabariki nyote.

    Mbunge wenu,
    Mhe. Toufiq Turky

    Shiriki Katika Mustakabali Wetu wa Kisiasa

    {"cpt":"event_listing","style":"2","columns":"2","show":2,"order":"DESC","orderby":"DESC"}
    29
    Jul
    29
    Jul
    Mpendae, Zanzibar
    2021-07-29 12:00 AM
    22
    Apr
    22
    Apr
    Mpendae, Zanzibar
    2018-04-22 01:00 AM

    Pamoja tunaweza kufanya jambo kubwa!

    Kwa kushirikiana, kujitolea, na kuwa na maono sawa, tunaweza kufanikisha mabadiliko makubwa na kuleta maendeleo kwa jamii yetu. Karibu ujiunge nasi katika kujenga mustakabali bora kwa sote. Pamoja, hakuna kikomo kwa tunachoweza kufanikisha.

    Usawa na Umoja

    Tunahimiza usawa na kuunganisha watu kwa maendeleo ya pamoja. Pamoja, tunaweza kufanikisha mabadiliko!

    Kuhamasisha Ubinadamu

    Lengo letu ni kuwatia moyo na kuwainspire watu kote kufikia malengo yao na kuwa mwanga kwa jamii.

    Mipango ya Maisha Bora

    Mikakati yetu inalenga kuboresha maisha kwa kila mtu katika kila kona ya jamii.

    Kura Yako ni Maendeleo

    Tunawakilisha mabadiliko, uwazi, na maendeleo ya kweli. Kwa kura yako, tutafanya kazi kwa bidii kuhakikisha mahitaji yako yanatimizwa na kuleta maisha bora kwa wote. Piga  kura kwa maendeleo!

    Kabla ya kuhudhuria mkutano wa kura za maoni, hakikisha unajua tarehe, mahali, na masharti ya kuhudhuria. Pia, fahamu malengo ya mgombea wako na jinsi mkutano huo unavyofanya kazi. Jiandae kushiriki kwa ufahamu na kuchangia maamuzi muhimu!

    Wakati wa kupiga kura, hakikisha unafuata maelekezo kwa uangalifu na kuweka kura yako kwenye sanduku la kura kwa usalama. Baada ya uchaguzi, matokeo hutangazwa kwa umma, na unaweza kufuatilia kwa kuhakikisha kuwa kura zote zimehesabiwa kwa uwazi na haki.

    Kabla ya siku ya uchaguzi, hakikisha umesajiliwa kwa kufanya uthibitisho kwenye ofisi za usajili wa kura au kupitia mawakala wa kudumu. Unaweza pia kuwasiliana na ofisi za uchaguzi kwa nambari za mawasiliano rasmi ili kuthibitisha kama jina lako liko kwenye orodha ya wapiga kura.

    Jiunge kama Mtu wa kujitolea

    Changia wakati na ujuzi wako kwa mipango yetu ya kuboresha jamii. Pamoja, tunaweza kufanya mabadiliko makubwa!

    Home